NYUMBA INAUZWA MBAGARA CHARAMBE
MINI SHOP CHETA
NYUMBA PAMOJA NA FREMU ZA BIASHARA ZINAUZWA
ipo karibu na barabara kuu ya serikari, kwaiyo inafaa sana kwa biashara pamoja na makazi ya kawaida tu ya kila siku kama kulala pamoja na huduma zingine.
tayari imeisha fanyiwa wireling (mfumo wa umeme upotayari) kinachosubiliwa ni umeme kuwashwa tu basi alafu matumizi yaanze.
Kuhusu huduma ya maji ondoa shaka maana kisima kimechimbwa nyuma ya fremu/nyumba hii, pia eneo iloilo kuna huduma ya tofari, mchanga, cement, kokoto, nk.
0659 91 9292
UNAWAZO LA KUANZISHA BIASHARA YAKO BINAFSI?
Kutoka CHETA KAZOLE kwenda VIKINDU GETINI ni 6.749Km Pekee.
Ila panaonekana kuwa mbali kutokana na ubovu wa miundombinu iliyopo ikiwemo ubovu wa barabara, ukosefu wa umeme, hospital/ Zahanati nk.
Kwa mahitaji ya bidhaa za Panasonic, Venus, Moulinex, Ariston, Tefal, Wahl, Hotpoint, K.I.C, Hitachi, Sharp, pamoja na Toshiba.
![]() |
Kwa mahitaji ya bidhaa za Panasonic, Venus, Moulinex, Ariston, Tefal, Wahl, Hotpoint, K.I.C, Hitachi, Sharp, pamoja na Toshiba. |
Karibu sana dukani kwetu lililopo ndani ya jengo la Mlimani City. Duka letu linaitwa PANASONIC, tunatazamana na duka la JUSTFIT pamoja na AMINA DESIGN.
Ndani ya duka letu utaweza kujipatia bidhaa zifuatazo hapo chini nk.
1. Tv, Music System, Home Theatre, Radio na Speaker za magari, DVD player.
2. A/C, Fen, Water Pumps, Air Cooling.
3. Microwave, Friji, Frizer, Washing Mashine, water Dispense, Majiko ya umeme au ya Gesi,
![]() |
Kwa mahitaji ya bidhaa za Panasonic, Venus, Moulinex, Ariston, Tefal, Wahl, Hotpoint, K.I.C, Hitachi, Sharp, pamoja na Toshiba. |
4. Mashine za kunyolea ndevu au Nywere, Pasi, Jagi za kuchemshia maji, Blender, Rice cooker, Blue Tooth Devices, Battery.
Kwa maelezo zaidi tupigie kupitia 0659 91 9292
KARIBU SANA ANISUMA TRADERS LTD TAWI LA MWANZA
NINI MAANA YA HISA?? BOFYA HAPA KUJUA MAANA YAKE NA JINSI INAVYOWAPATIA WATU VIPATO
Hii ni tofauti na wenzetu wazungu ambao hujishughulisha na kujua mambo ya msingi katika shughuli zao mbalimbali wanazoziendesha. Kutokana na hili nimekuwa nikieleza mara kwa mara baadhi ya mambo ya msingi kuhusu kampuni. Nakumbuka nimewahi kueleza namna ya kuunda kampuni, maana ya neno limited, namna ya kuandaa mahesabu ya kampuni, jinsi ya kununua na kuuza hisa, na mengine mengi. Kwa anayetaka kuyaona haya atembelee SHERIA YAKUB BLOG. Leo tena naeleza kitu kingine ambacho ni, Maana ya hisa na aina zake ( shares) .
1.NINI MAANA YA HISA.
Hisa ni maslahi ya kila mwanahisa aliyonayo katika kampuni fulani. Yaani wewe kama ni mwanahisa katika kampuni fulani basi yale maslahi yako au kiwango chako cha uwekezaji ulichowekeza katika ile kampuni ndio hisa zako. Kama mko watu kumi katika kampuni basi kila mtu ana maslahi au kiwango kadhaa cha uwekezaji ambapo ukikusanya uwekezaji huo kwa pamoja ndio utaitwa hisa za kampuni. Uwekezaji au maslahi katika kampuni hutofautiana kutokana na uwezo wa kila mwanahisa.
Tofauti hutokana na kiwango cha kila mtu alichowekeza. Kuna mwenye hisa kumi, kuna mwenye ishirini, kuna mwenye hisa mia n.k. Hisa siku zote hupimwa kwa kiwango cha pesa. Yawezekana uwekezaji wa mtu kwenye kampuni ni magari yaani amepata hisa kwa kuchangia magari. Mwingine amepata hisa kwa kuchangia ofisi. Na mwingine amepata hisa kwa kuchangia vifaa vyote vya ofisi. Katika kuhesabu hisa michango hii yote itawekwa katika viwango vya pesa na itasemwa kuwa fulani ana hisa za shilingi kadhaa na sio ana hisa za magari au vifaa kadhaa. Kwa hiyo hisa huhesabiwa kwa mtindo/viwango vya fedha.
2. AINA ZA HISA.
Hisa sio hisa kama wengi tunavyojua isipokuwa hisa zina aina zake. Sio kila mwenye hisa ana hisa isipokuwa ana hisa gani au za aina gani. Aina za hisa za mtu katika kampuni ndio humwezesha kujua ana haki gani katika kampuni, ana wajibu gani na anawajibikaje likitokea tatizo. Kwa hiyo haki, wajibu(duty) na uwajibikaji(liability) katika kampuni hutofautiana kutoka mwanahisa mmoja hadi mwingine kutokana na aina za hisa anazomiliki. Wanahisa wote hawana haki sawa, hawana wajibu sawa na hawawajibika sawa pamoja na kuwa katika kampuni moja. Hapa chini tutaona aina za hisa.
( a ) HISA ZA WAMILIKI ( EQUITY SHARES).
Hizi ni aina za hisa ambazo huwa ndio nyingi katika kampuni. Wale wanaomiliki hisa nyingi katika kampuni hisa zao huitwa hisa za wamiliki. Huitwa hisa za wamiliki kwakuwa hawa huhesabika kama ndio kampuni yenyewe na hivyo wenye hisa hizo ndio wamiliki wa kampuni. Nimesema hapo juu kuwa wanahisa hawana haki sawa, wajibu pamoja na uwajibikaji. Wenye hisa hizi wana haki kubwa ya kimaamuzi katika shughuli zote za uendeshaji wa kampuni kwakuwa wao kila hisa moja huwa ni kura moja na kwahiyo kila kitu hupitishwa kwa kura zao. Pia wana haki ya kupata mgao mkubwa kuliko wengine. Hata hivyo wanawajibika zaidi linapotokea tatizo kwa mfano inapotokea hasara wao ndio hupoteza zaidi. Kwa jina jingine hisa za hawa huitwa HISA ZA SIMBA( LIONS SHARE). Hii ni kwasababu huko mwituni simba hupata mgao mkubwa wa nyama kati ya wanyama wote.
( b ) HISA ZA KAWAIDA.
Hizi ni zile hisa ambazo humilikiwa na watu wengine wa kawaida katika kampuni. Mara nyingi hawa ndio huwa wengi japo kila mtu huwa na hisa kidogo kidogo. Mgao wao wa faida hutokana na asilimia ya kile mtu anachomiliki. Maamuzi yao katika kampuni huwa ni madogo ukilinganisha na wenye zile hisa za umiliki( equity shares). Hata hivyo uwajibikaji wao nao ni mdogo pia kwani hupata hasara kidogo pale kampuni inapopata hasara. Pamoja na hayo sheria imewapa kipaumbele cha kupewa mgao wa faida kabla ya kundi jingine lolote.
( c ) HISA ZA WAANZILISHI ( DEFERRED SHARES).
Hizi ni hisa ambazo hutolewa kama zawadi kwa waanzilishi wa kampuni. Mgao wa faida wa hisa hizi huwa sio wa moja kwa moja isipokuwa hutegemea na faida inayozidi. Kawaida mgao wa faida kwa wanahisa wengine hutoka katika faida ya kawaida lakini hawa hawapewi mgao kutoka faida ya kawaida isipokuwa hupata pale faida inapozidi au kuvuka kiwango ilichotegemewa.
( d ) HISA ZA KAMPUNI( CORPORATE SHARES).
Zote nilizotaja juu ni hisa za kampuni lakini bado jina hili hupewa hisa hizi kutokana na kuwa ni hisa maalum ambazo hutolewa kwa waajiriwa/wafanyakazi katika kampuni husika. Waajiriwa hutengewa hisa zao na mwenye uwezo huweza kuchukua hisa hizo kwa kiwango cha uwezo wake. Mwajiriwa huendelea kuwa na hisa hizo hata baada ya utumishi wake kukoma . Kwa ufupi sana niseme tu kuwa hisa sio hisa ila hisa ni una hisa za aina gani
FAIDA NJE NJE NA AKAUNTI YA MALENGO, INGIA HAPA KUJUA ZAIDI
Kama wewe ni Bloggers | Mwandishi wa habari | Makerting | Money Makers | nk |ingia hapa
Habari za leo ndugu, ikiwa ni siku nyingine tena tunakutana hapa kujulishana habari muhimu. Leo napenda kuwatambulisha mtandao bora na rahisi kutumia katika mambo ya kutangaza bidhaa zako na kisha kulipwa kwa asilimia ya kile ulichokifanya.
Mtandao huu unaitwa PropellerAds, utendaji kazi wake unafanana kabisa na mtandao wa Google Adsense, kwa wale ambao ni wageni mnaweza kuwa hamjanielewa ila kwa wenzangu bloggers na wengineo mtakuwa mmenielewa.
Google adsense ni mfumo ambao google wanakupatia matangazo unayaweka kwenye blog au website yako kisha unakuwa unalipwa kulingana na watembeleaji walivyo yabonyeza, mfumo huu ndio sawasawa na wa Propeller ila tofauti kati ya Propeller na google ni kwamba google waga wana masharti mengi na magumu sana ambapo watumiaji wake waga wanafungiwa account zao kila mara.
Kujiunga na mtandao huu wa kibiashara bofya hapo chini palipo na maneno kwenye mabano ikisha funguka bofya kwenye eneo lenye vimistari vitatu (kama vinavyo onekana kwenye picha iliyopo hapo chini kwa upande wa kulia), kisha chagua Register, na fuata maelekezo.
(( CLICK HERE TO REGISTER ))
Na kwa upande wa PropellerAds hawa jamaa wana masharti nafuu kabisa pamoja na % asilimia wanayoitoa kwa kila tangazo ni kubwa ukilinganisha na ile ya googleAds.
Sasa kama wewe unataka kupiga pesa nyingi tena kwa mda mfupi tena bila masharti magumu basi jiunge na mtandao huu utakuwa mkombozi wako kwa njia ya kujipatia pesa.
Mimi binafsi nimejiunga jana ila mpaka kufikia mda huu nimeisha anza kuona mafanikio yao nasio mimi tu bali kuna watu wengine wameisha jiunga wanaweza kuwa mashaidi juu ya kile ninachokisema kuhusu Propeller.
FOR SALE/ NYUMBA INAUZWA TSH.75 MILLIONS, PICHA NA MAELEZO ZAIDI BOFYA HAPA
Iyo nyumba ina vyumba vitatu vya kulala, sitting room, dinning room, kitchen na stoo ya nje na choo cha ziada cha nje.
Eneo la kiwanja chake ni Futi 50 kwa futi 60 au mita 18 kwa mita 20. Nyumba tayari ina umeme, maji, ipo ndani ya fensi, kuna parking ya gari nk.
Chumba cha master kina choo chake ila vingine viwili havina lakini kuna bafu na choo cha public kwa ndani ya nyumba na pia kwa nje kuna choo pamoja na stoo.
Nyumba ipo Saku Stend mkono wa kushoto- Mbagala mbele kama unaelekea Chamazi, bei tunaanzia Tzs milion 80 ila maongezi yapo.
TOYOTA DUET INAUZWA TSH 5.5MILLIONS, PICHA 6 ZAIDI BOFYA HAPA
Hii ni gari aina ya Toyota Duet ambayo inauzwa kwa Tsh 5.5millions na bei inapungua.
STARLET INAUZWA KWA TSH 6.5MILLIONS, PICHA ZAIDI BOFYA HAPA
Gari hii ni aina ya Starlet, ambayo imesajiliwa kwa namba T 580 CMS kama inavyo onekana kwenye picha hapo chini.