Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

KARIBU SANA ANISUMA TRADERS LTD TAWI LA MWANZA

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.
P.O. Box 1750 Mwanza, Plot No. 2, Block "R" Nyerere Road/Liberty Corner Opposite Al-Jumaa Masjid.

Contact: 0783 202 192/0756 407 160
Email: mwanza.tz@anisuma.com
Ndugu mteja karibu sana kwenye duka letu jipya la Sony hapa jijini Mwanza.

Dukani hapa tunauza vifaa vifuatavyo

1. Radio za Sony
2. Home Theatre System.
3. DVD Player  (Deki)
4. TV kuanzia inchi 18 nakuendelea
5. Camera
6. Radio ndogo za kushika mkononi
7. External Addisck  (kifaa cha kubebea data)
8. USB Flash ukubwa wa kila aina
9. Projector nazo tunazo
10. Speaker za kuongeza sauti kwa Tv, nk.
11. Battery za kila Size pia zipo za Kuchaji
12. Mashine za kunyolea Nywere
13. Mashine za kufulia nguo
14. Headphone na Earphone pia tunazo
15. Mashine za kunyolea ndevu
16. Pasi za nyere kwa akina mama nk.
17. Empty CD na Empty DVD-R na RW
18. Friji kila aina ya Size nazo tunazo
19. Frizer za kila Size pia nazo tunazo
20. Ovener za kila aina nazo zipo
21. Majiko ya umeme na Gesi pia yapo
22. Feni za kila aina zikiwemo za kuchaji
23. Pasi za kunyoshea nguo kila aina
24. Blender za kila ukubwa tunazo pia
25. Speaker za radio kwenye magari
26. Toster za kutengenezea mikate
27. Mashine za kuchomea nyama
28. Jagi za umeme za kuchemshia maji
29. Rice Cooker pia zipo
30. Mashine za kufanyia usafi zipo
31. Mixer za kila aina zote tunazo
32. Sound Bar za kisasa nazo tunazo
33. Mabegi ya kubebea Camera pia yapo
34. Water Dispenser nazo tunazo
35. CD za Gems pia nazo tunazo
36. Wall Blacket  (Stendi ya kuwekea Tv ukutani)
37. AC za kila ukubwa nazo tunazo
38. Juicer (mashine za kutengeneza juice) 
Tunapatikana Mwanza barabara ya Nyerere Road, Mtaa wa Liberty Corner tumetazamana na Msikiti wa Ijumaa.
Wote mnakaribishwa sana
Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top