Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

BADO UCHUNGUZI UNAENDELEA JUU YA POLISI WALIOKULA CHIPS, BOFYA HAPA KUJUA ZAIDI

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.

Polisi Mkoa wa Shinyanga inafanya uchunguzi wa madai ya askari wake kula chipsi na kukataa kulipa kisha kuanzisha fujo baada ya kudaiwa fedha.

Askari hao zaidi ya watatu wanadaiwa kuagiza watengenezewe chipsi na mayai na kukataa kulipa.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Shinyanga, Muliro Jumanne amesema tukio hilo lilitokea Agosti 13 eneo la Mshikamano Kata ya Ngokolo Manispaa ya Shinyanga saa nne usiku.

Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top