Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

MGODI WA ALMASI WAFUNGWA KISA NA MKASA BOFYA HAPA KUJUA ZAIDI

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.

Baraza la taifa la hifadhi na usimamizi wa mazingira nchini NEMC limeifungia kampuni ya El-hillal Minerals katika wilaya ya kishapu mkoani Shinyanga kuendelea na shughuli za uchimbaji na uchenjuaji wa madini ya Almasi kutokana na Mgodi huo kushindwa kufuata taratibu za uhifadhi na utunzaji wa mazingira katika eneo hilo.

Akizungumza baada ya kufanya ukaguzi na kufikia hatua ya kufunga shughuli za Mgodi huo, afisa mazingira mkuu wa NEMC Dk Yohana Mton, amesema baraza hilo limebaini shughuli za uendeshaji wa mgodi huo zimeathiri kwa kiasi kikubwa viumbe hai na mazingira katika eneo.

Naye mwakilishi wa kampuni inayoendesha mgodi huo Bw Amour Nassor, amekili kuwa shughuli za mgodi zimesababisha uharibufu mkubwa wa mazingira lakini amesema kutokakana mgodi huo kuajiri watu wengi hivyo ameomba serikali kuwapa muda wa kufanya marekebisho yanayohitajika.

Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top