Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

USIKOSE KUTAZAMA PICHA 10 ZA MSANII HUYU, BOFYA HAPA SASA

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.
Mimi binafsi nimeanza kumfahamu kwa kupitia wimbo wake mpya wa Uje, ambao picha zake ndizo hizi unazozitazama hapa.

Kiukweli nimependa wimbo wake huu kuanzia kwenye mpangilio wa merodi, ujumbe uliomo ndani yake, mavazi pamoja na uchezaji wa wote walioshiliki.
Mbali ya kutowajua majina yao hawa akina dada walicheza kwenye video ya wimbo huu, kwanza niwapongeze sana kwa kuonyesha nidhamu ya kazi yao.

Huyu ndiye msanii mwenyewe.

Lakini pili niseme neno moja kwao, ya kwamba mbali ya wao kucheza vizuri nimevutiwa na kumpenda mdada moja wao.


Mdada mwenyewe ambaye nimevutiwa nae pia nafsi yangu imempenda ni huyu hapo kwenye picha ya chini.

Sababu kubwa ya mimi kumpenda ni kama ifuatavyo 1. Uzuri wake kimuonekano, 2. Uchezaji wake ni wakuchangamka, 3. Ananidhamu kazini, na mwisho kwa sasa ni mtu anayeweza kucheza kila aina ya style bila wasiwasi.

Lakini mbali ya kuvutiwa na kumpenda mdada huyu aliyecheza kwenye wimbo huu napenda kuwapongeza wasanii chipkizi wa kila aina ya mziki wa hapa nchini kwa kazi nzuri wanazozifanya.

Na kwa upande wangu kama mmoja wa watu wanaomiliki blog hapa nchini Tanzania naomba niseme kwamba kwa msanii yeyote yule ambaye atakuwa anaitaji msaada kutoka kwangu, basi mimi niko tayari kumsaidia.

Msaada wenyewe sio lazima pesa ata kupromote nyimbo zake, kupeana ushauri, kupublish kitu chochote anachotaka kuifahamisha jamii.
Kwa maoni/maswali/ushauri napatikana kupitia simu namba hii: 0659 91 9292
Je unampa asilimia ngapi juu ya wimbo wake huu??? Tuachie maoni yako hapo chini.
Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top