Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

YALIYOJILI WAKATI WA UZINDUZI WA UJENZI WA BARABARA YA ARUSHA TO KENYA, BOFYA HAPA

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.

Mwenyekiti wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki Mh.Rais Dr,John Pombe Magufuli ameongoza wakuu wa nchi hizo kuzindua ujenzi wa  barabara ya km 234.3 inayoanzia Arusha hadi Holili nchini Kenya na kuwataka kutumia rasilimali zilizopo kuimarisha na kuboresha maisha ya wananchiumaskini badala ya kuimarisha misingi ya kisiasa.

Akizungumza katika hafla hiyo Mh.Rais Magufuli amesema kimsingi  mahitaji ya wananchi katika nchi zote ni kupata maendeleo na sio siasa hivyo wasiogope kufanya maamuzi yenye maslahi ya wengi na amewataka wananchi wa maeneo itanapotekelezwa miradi ya maendeleo ukiwemo wa barabara kutoa  ushirikiano.

Aidha amesema kwa upande wake hatamuonea huruma mtu yeyote anayetumia rasilimali ama madaraka yake kuwajinufaisha wakati walio wengi wanateseka na kwamba amejitolea muhanga kwa ajili ya wamilioni ya watu maskini wanaoteseka.

Kwa upande wake rais Uhuru Kenyeta na Yoweri Museven wa Uganda wamesema umaskini unaowaandama wananchi katika nchi nyingi zikiwemo za Afrika Mashariki unachangiwa na udhaifu wa viongozi na watendaji wa serikali na licha ya kumpongeza rais Magufuli kwa kuanza kushughulikia tatizo hilo wamesisitiza umuhimu wa viongozi  kubadadilika.

Awali katibu mkuu wa jumuiya ya Afrika Mashariki Dr.Richerd amesema na balozi wa Japan nchini Masahalu Yoshida wamesema  ujenzi wa miundombinu ya barabara unaendelea kurahisisha  mawasiliano kwa nchi wanachama huku mwakilishi wa Benk ya dunia akisisitiza umuhimu wa nchi wanachama kuishirikisha na kuiwezesha sekta binafsi katika ujenzi wa miundimbinu.

Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top