Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

WANANCHI WA KATA YA NDONGOSI WATEMBEA 5KM KUTAFUTA MAWASILIANO, ZAIDI BOFYA HAPA

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.

Wananchi wa kata ya Ndongosi watembea kilomita 5 kutafuta mawasiliano ya simu.

Wananchi waishio katika kata ya Ndongosi iliyoko mpakani mwa Tanzania na Msumbiji wamelalamikia kukosa mawasiliano ya simu ambapo wamekuwa wakitembea kilomita tano kufuata eneo lenye mtandao wa simu ambako hupanda juu ya miti ili kuweza kuwasiliana  na ndugu zao.

Wakizungumza na Mutalemwa Blog katika eneo  yanakopatikana mawasiliano ya simu  ambalo wamelipa jina la mtandaoni ambako  husafiri kilomita tano kutoka makao makuu ya kata na hupanda juu ya miti ili kuweza kupata mawasiliano ya simu wamesema kuwa kukosekana kwa mawasiliano ya simu kunawafanya washindwe kuwasiliana na ndugu zao pindi wanapoata matatizo.

Wameiomba serikali kwa kushirikiana na na makampuni ya simu za mkononi kuwejengea minara ya simu ili waweze kupata mawasiliano ya simu.

Akizungumza na wananchi hao mkuu wa wilaya ya Songea Bw.Benson Mpesya ambaye wananchi hao wa kata ya Ndongosi wamempongeza kwa ujio wake wakidai kuwa hawajawahi kutembelewa na kiongozi kwa miaka mitano amesema tatizo la kukosa mawasiliano ya simu amelichukua na atalifanyia kazi.

Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top