Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

NYUMBA YA VYUMBA 4 INAUZWA CHAMANZI SAKU IRURU, BONYEZA HAPA KUJUA BEI YAKE

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.
Ndugu mteja, Nyumba hii ina jumla ya vyumba 4, jiko 1, choo cha public 1 pamoja na frems 2 za maduka kwa upande wa mbele.

Nyumba hii ipo eneo la Chamanzi Saku Iruru ikiwa ni hatua chache kutoka kwenye eneo la mhe.Suleiman Kova.
inauzwa kwa bei ya Tsh 60millions ikiwa imekamilika, na kama utainunua ikiwa kama ilivyo kwa sasa basi bei yake itakuwa ni Tsh 46millions.
Ndugu mteja, bei zetu zote zinapungua kabisa, pia umeme pamoja na maji vyote vipo kwenye eneo la nyumba hii. Karibuni sana.  
Kwa maoni/maswali/ushauri tupigie simu kupitia Tigo: 0659 91 9292 
Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top