Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

NYUMBA YA VYUMBA 3, NK, INAUZWA CHAMANZI DOVYA KWA MZARA, BONYEZA HAPA KUJUA BEI YAKE

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.
Ndugu mteja, Nyumba hii inapatikana maeneo ya Chamanzi Dovya kwa Mzara. Kwa gari ni 10dk kwa speed ya 30kmp/hr.
Nyumba hii inavyumba 3 na kila chumba kina choo chake ndani, ina seating room1, Dining room1, jiko1, pamoja na store 1.
Nyumba hii inauzwa Tsh. 46millions ikiwa imekamilika, yaani itakuwa ina Fensi, Umeme, Milango, Madirisha na itakuwa imewekewa sakafu ya chini.
Ila Kama utainunua kama ilivyo kwa sasa basi Bei yake itakuwa ni Tsh 28million tu.
Kuona ilipojengwa nyumba hii tafadhali                       {{BONYEZA HAPA}} 
Maji pamoja na umeme vyote vipo katika eneo hili ambapo nyumba hii ilipo.
KUMBUKA: Bei zetu zote zinapungua kabisa. Kwa maoni/maswali/ushauri tupigie simu kupitia Tigo: 0659 91 9292 
Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top