Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

MAMBO 10 YANAYOWEZA KUARIBU FIGO LAKO, BOFYA HAPA KUYAFAHAMU

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.

Ndugu mdau wa Mutalemwa Blog, leo nimekuletea mambo 10 ambayo yanaweza kusababisha kuaribika kwa figo lako la mwili, endapo utayafanya kwa mara nyingi kupita kiasi chake.

1. Kutokukojoa mapema mkojo ukikushika
2. Kutokunywa maji ya kutosha
3. Kula chumvi sana kwenye chakula.
4. Kutokujitibu magonjwa ya kawaida kwa haraka na vizuri
5. Kula nyama sana

6. Kutokula chakula cha kutosha 
7. Kutumia Vidonge vya kukata maumivu kwa wingi 
8. Kutokula kwa wingi vyakula vyenye virutubisho 
9. Kunywa pombe kupita kiasi 
10. Kutopumzika vya kutosha.

Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top