Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

KERO ZA WANAFUNZI WA MASOMO YA ELIMU YA JUU KUTATULIWA, KUFAHAMU ZAIDI BONYEZA HAPA

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.

Bodi ya mikopo ya elimu ya juu yajipanga kutatua kero za wanafunzi.

Bodi ya mikopo ya elimu ya juu nchini imesema kwasasa imekwishaimarisha mifumo yake ya kupokea na kushuhulikia malalamiko ya wanafunzi haswa kwa waliokosa mikopo kwenye bodi hiyo.

Hayo yamebainiswa na meneja wa habari, elimu na mawasiliano wa bodi hiyo Bwana Omega Ngole huku akisema bodi hiyo kwasasa imejipanga vyema katika kuhakikisha wanafunzi wanaomba mikopo wanapata mikopo kwa wakati.


Bwana Omega Ngole ametoa wito kwa mafisa mikopo wa vyuo hapa nchini kuhakikisha wanabainisha matatizo ya wanavyuo na kuyashuhulikia kwa wakati ili kupunguza migogoro ya wanavyuo hao katika upatikanaji wa mikopo.

Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top