Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

HII NI HABARI KUHUSU WAUZAJI NA WANUNUZI WA SIMU FEKI, BOFYA HAPA KUJUA ZAIDI

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.

Wafanyabiashara wa simu waomba kuongezwa muda wa kuzimwa kwa simu feki.

Wakati tarehe kumi na saba juni mwaka huu simu zote feki zikitarajiwa kuzimwa baadhi ya wafanyabiashara za simu za mikononi katika soko la Kariakoo jijini Dar es Salaam walalamikia kukosa kabisa wateja na kupata hasara kubwa kutokana na kuwa na simu nyingi ambazo ni feki huku watuamiaji nao wakilalamikia kuwa watakosa mawasiliano kutokana na simu origino kuwa ghali.

Siku chache baada ya mamalaka ya mawasiliano nchini TCRA kuonesha msimamo wake wa kuzifungia simu hizo baadhi ya wafanyabiashara katika soko la Kariakoo jijini Dar es Salaam wameelezea kuwa katika wakati mgumu kutokana na kukosa wateja na hivyo kusababisha hata simu ambazo sio feki kukosa wateja na kubaini kupata hasara kubwa kutokana na azimio hilo ambapo wameziomba mamlaka husika kuongeza muda ili kuwapa nafasi ya kujipanga ili kutafuta mtaji wa kuingiza simu zinazotakiwa.

Baadhi ya watumiaji waliozungumza na ITV nao wameitupia lawama serikali kwa kutoa agizo la kuzimwa kwa simu feki huku ikiruhusu simu hizo kuingia nchini na kuzitaka mamlaka husika kulitizama upya swala hilo ama kuweka bei elekezi kwa simu halisi ili iwe rahisi kwa wananchi wa kipato cha chini kuzinunua.

Wapo baadhi ya wauzaji wa simu pia walioipongeza serikali kwa hatua iliyochukuwa ya kuzima simu feki na walikuwa na haya ya kusema.

Mamlaka ya mawasiliano nchini TCRA tayri imeonesha msimamo na kutangaza kuwa tarehe kumi na saba juni mwaka huu simu zote feki zitazimwa ikumbukwe kuwa zoezi la kufungiwa kwa simu feki sio geni kwa nchi za Afrika Mashariki ikiwemo Kenya ambao tayari wameshazifungia kabisa simu feki.

Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top