Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

FOR SALE: ENEO LA HEKARI MOJA NA FREMS 10 LINAUZWA, KUJUA ZAIDI BOFYA HAPA

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.

Izi picha zinaonesha majengo ya frems 10 ambazo zimejengwa ndani ya eneo lenye ukubwa wa hekari moja.

Frems izi zinauzwa pamoja na eneo linalo zizunguka ambalo lina ukubwa wa hekari moja.
Bei ya frems hizi pamoja na eneo lote ilo la hekari moja ni Tsh 150millions, ila maongezi yapo kwa mteja ambaye yuko tayari kununua.
Eneo hili pamoja na frems zake linapatikana maeneo ya Vikindu wilaya ya Mkuranga mkoa wa Pwani.
Tuwasiliane kupitia 0659 91 9292 naitwa Mutalemwa, karibu sana kununua.
style mbalimbali za muonekano wa frems izi zinazouzwa. 
Huu ni muonekano wa mbele wa frems izi 
Pindi wakati hazijaezekwa, pia muonekano wa nyama wa frems izi.
Frems izi ziko karibu na barabara kama jinsi zinavyo onekana hapo juu.
Hii ndio barabara inayopira kwenye frems izi
Huu ni muonekano wa nyama wa frems izi
Kama inavyo onekana hapo kwenye picha, eneo lililozungushiwa vipimo ndio linalouzwa pamoja na frems zake. 
Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top