Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

DAWA YA UTATUZI WA MIGOGORO YA ARDHI KATI YA WAKULIMA NA WAFUGAJI YAPATIKANA, BOFYA HAPA KUJUA ZAIDI

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.

Dawa ya utatuzi wa migogoro ya ardhi kati ya wafugaji na wakulipa yapatikana.

Wadau wa matumizi bora ya ardhi wamesema tatizo la ongezeko la migogoro ya ardhi kati ya wakulima wafugaji na maeneo yaliyo hifadhiwa halitaweza kumalizika kama serikali hawatatilia mkazi upimaji ya mipaka na mpango wa matumizi bora ya ardhi.

Kauli hizo zimesemwa na watalam wa ardhi na wadau wengine wa matumizi bara ya ardhi katika kikao kilicho wakutanisha watalam wadau na kamishina wa ardhi kanda ya kaskazini kujadili changamoto ya ongezeko la migogoro ya ardhi kati ya jamii za wakulima wafugaji na maeneo yaliyo tengwa kwa ajili ya matumizi maalum.


Kamishina msaidizi wa ardhi kanda ya kaskazini Suma Tumpale amesema tofauti na maeneo mengine kanda ya kaskazini imekuwa na migogoro mingi ya ardhi inayo tokana na kutokuwepo kwa mipango ya matumizi bora ya ardhi huku afisa wa ardhi kutoka halmshauri ya Simanjiro Baltazal Sule akidai wilaya simanjiro imeanza kupunguza tatizo ilo kwa kupanga matumizi bora ya ardhi.

Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top