Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

WATU 9 WAUWAWA NA WENGINE 7 WAJERUHIWA VIBAYA

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.

Watu tisa wameuawa na wengine saba kujeruhiwa baada ya kutokea shambulio la risasi katika Chuo kimoja katika jimbo la Oregon, Polisi wameeleza.

Mtu mwenye silaha alifyatua risasi chuo cha Umpqua Alhamisi asubuhi na baadae kuuawa aipokuwa akijibizana kwa risasi na Polisi.

Kuna habari za kukanganya kuhusu madhara yaliyojitokeza lakini Afisa Polisi wa eneo hilo amesema Watu 10 wameuawa akiwemo muuaji huyo.

Polisi hawajamtambua muuaji lakini afisa mmoja ambaye hakutaka jina lake litajwe ameviambia vyombo vya habari nchini Marekani kuwa jina lake ni Chris Harper Mercer.

Sababu za muuaji huyo kutekeleza shambulio hazijajulikana, ingawa Polisi wanasema wanafanyia uchunguzi ripoti kuwa alitahadharisha dhamira yake katika mtandao wa kijamii.

Saa kadhaa baada ya shambulio, ambalo watu saba walijeruhiwa Rais wa Marekani, Barack Obama ametaka kuwe na sheria kali za udhibiti wa silaha.

Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top