Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

KIONGOZI WA MAPINDUZI BURKINAFASO AKAMATWA

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.

Jenerali Gilbert Diendere ,kiongozi wa mapinduzi ya mwezi uliopita nchini Burkina Faso anazuiliwa na vikosi vya usalama vya taifa hilo.

Baadhi ya ripoti zinadai kuwa awali alikuwa amesalimu amri katika ubalozi fulani ndani ya mji mkuu wa Ouagadougou.

Kaimu wa rais Michel Kafando alirudishwa mamlakani wiki iliopita kufuatia kuingilia kati kwa jeshi pamoja na viongozi wa Afrika Magharibi.

Kikosi cha walinzi wa rais kilichotekeleza mapinduzi hayo kinatarajiwa kuvunjwa.

Jenerali Diendere amewasilishwa kwa mamlaka ya Burkinabe,kulingana na duru za mahakama.

Awali kiongozi huyo alikuwa amekimbilia hifadhi katika afisi ya mwakilishi wa Vatican nchini humo.

Hatahivyo maelezo zaidi ya kusalimu amri bado hayajulikani.
Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top