Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

WANAKINONDONI WASHEREKEA KAMA HIVI

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.

9.30am:Chama cha CCM kinachoongozwa na mgombea wa urais John Magufuli kimeshinda majimbo yote ya ubunge katika eneo la Dodoma huku Muungano wa Ukawa chini ya uongozi wa Edward Lowassa ukichukua viti vingi katika mji wa Dar es Salaam.

9.00am:NEC yatoa ufafanuzi kuhusu matokeo
Mwenyekiti wa tume ya taifa ya uchaguzi NEC Damian Lubuva ametoa ufafanuzi juu ya ucheleweshaji wa matokeo ya rais kutoka majimbo mbalimbali akisema kuwa tume hiyo inatoa matokeo hayo kutoka kwa wasimamizi wa uchaguzi katika majimbo yote nchini..
7.00am:Washerehekea Kinondoni

Kulikuwa na sherehe katika jimbo la Kinondoni nchini Tanzania baada ya chama cha CUF kushinda katika eneo hilo.
Vijana waliokuwa wakifurahia ushindi huo waliimba na kuzunguka na bajaji wakiusifu ushindi huo na chama chao.

Hatahivyo maafisa wa polisi katika eneo hilo walifika katika eneo hilo na kuhakikisha kuwa hakuna fujo zozote zitakazotokea.
6.00am:Hali ya wasiwasi yatanda Zanzibar

Hatua hiyo inalenga kupunguza hofu na wasiwasi uliotanda hasa baada ya machafuko kushuhudiwa huko.
Vyombo vya usalama vimewekwa katika hali ya tahadhari kutokana na hali ya sintofahamu iliyosababishwa na mgombea wa urais wa upinzani kujitangaza kuwa mshindi.
 
Hatua hiyo ya imelaaniwa vikali na chama tawala cha CCM kilichotoa shinikizo kwa tume ya uchaguzi kuchukua hatua kali dhidi yake.
UMEAMKAJE?

Matokeo ya uchaguzi wa urais nchini Tanzania yanaendelea kutolewa huku BBC ikiendelea kukufahamisha kuhusu matukio tofauti nchini humo. Tume ya Taifa ya Uchaguzi jana ilitangaza matokeo ya majimbo takriban 100 na matokeo zaidi yanatarajiwa leo.

Tunafuatilia pia hali ilivyo Zanzibar baada ya mtafaruku jana kuhusu kutolewa kwa matokeo ya uchaguzi. Wakati mmoja maafisa wa usalama walizingira kituo kinachotumiwa na Tume ya Uchaguzi Zanzibar kutangaza matokeo na hakuna aliyeruhusiwa kuingia wala kutoka. Tume ya uchaguzi humo visiwani kufikia jana jioni ilikuwa imetoa matokeo ya majimbo 31 kati ya majimbo yote 54.
Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top