Bado tume ya uchaguzi nchini Tanzania inaendelea kutangaza matokeo ya nafasi mbalimbali zikiwemo nafasi za ubunge, udiwani pamoja na urais.
Mda uliopita tume ya uchaguzi nchini imetangaza matokeo kwa nafasi ya urais kutoka mkoani Mbeya kwenye jimbo la Kyela.
Matokeo yenyewe nikama yafuatayo
ACT 261
ADC 338
CCM 44451
CHADEMA 37563
CHAUMA 132
NRA 28
TLP 28
UPDP 23
Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies