Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

MTAZAMO TOFAUTI KWA WAPIGA KURA WA TEMEKE

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.
Jeshi la Polisi limekita kambi Temeke mikoroshini kata ya Sandali jimbo la Temeke baada ya hali kuelezwa kuonekana tofauti kutokana na vijana wa eneo hilo kujaa kwa wingi kwa kile kinachoelezwa wanataka matokeo yatangazwe kwani wana wasi wasi na utangazwaji wa matokeo.

Wananchi hao wanadai kuwa wana wasiwasi kutangazwa matokeo tofauti wakati wanaamini mgombea wao kutoka CUF atakuwa kashinda dhidi ya CCM,lakini bado mawakala hawajaweka wazi matokeo hivyo hadi sasa.

 
 Kwa Mujibu wa muandishi wetu Sam Mahela aliyepo eneo hilo anayefuatilia taarifa hizi za uchaguzi anasema kuwa licha ya jeshi la polisi kuwepo eneo hilo linahakikisha hakuna tatizo lolote linalo tokea na kuona wasimamizi wakitangaza matokeo bila hofu. Source ITV
Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top