Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

MSHINDI WA ARUMERU MASHARIKI NI BWANA JOSHUA NASARI

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.
Mbunge mteule wa Arumeru Mashariki Bwana.Joshua Nasari ameibuka mshindi baada ya msimamizi wa uchaguzi kutangaza matokeo na kuonesha kuwa ameshinda kwa asilimia 72.6% dhidi ya wapinzani wake.

Akizungumza baada ya kutangazwa mshindi Bwana.Nasari amesema kuwa ameupokea ushindi huo kwa kishindo na anawashukuru wana Arumeru kwa kumpa nafasi nyingine tena ya kuweza kuwatumikia.
Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top