Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

JOSHUA NASARY AIBUKA MSHINDI- ARUMERU MASHARIKI

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.
Mgombea ubunge kupitia chama cha demokrasia na maendeleo chadema mhe.Joshua Nasary Samwel ameibuka mshindi katika jimbo la Arumeru mashariki mkoani Arusha.
Picha kutoka maktaba.
 
mheishimiwa huyu ameshinda kwa kupata kura 86,694 sawa na asilimia 72.6% wakati chama cha ACT kikipata kura 622 sawa na asilimia 0.52%, chama cha AFP kikipata kura 236 sawa na asilimia 0.19%
Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top