Ndugu msomaji wetu, mda mfupi uliopita vijana wamekusanyika katika njiapanda ya Ubungo na Chuo kikuuu na kuanza kuzuia magari barabarani.
Vijana hao wanadai kuwa lengo lao ni kushinikiza matokeo ya mgombea wa jimbo la ubungo yatangazwe.
Police wameweza kufika katika eneo hili nakuweza kuwatawanya vijana hao kwa kutumia mabomu ya machozi.
Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies