Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

ABIRIA WA KWAMA NJIANI KWA MDA WA MASAA 16

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.
Abiria waliokuwa wakisafiri kwa gari moshi kupitia reli ya kati wamekwama kwa saa kumi na sita katika eneo la Pugu nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam huku wakilalamikia kutelekezwa na shirika la reli Tanzania katika sehemu ambayo hakuna huduma muhimu za kijamii.

Baada ya ITV kupata fununu kuhusu kukwama kwa gari moshi hilo lenye jumla ya mabehewa 12 kuelekea mikoa mbalimbali, tulifika katika eneo la pugu na kukuta baadhi ya abiria wakiwa wamechoka kutoka na njaa huku wengine wakiwa wamelala, na wengine wakipaza sauti zao kulalamikia kitendo cha kutelekezwa katika eneo hilo huku viongozi wahusika wa treni hiyo wakikimbia.
 
Baadhi ya wagonjwa nao wakatupa lawama kwa shirika la reli Tanzania kwa kuwatelekeza huku wakihofia maisha yao na maisha ya watoto katika eneo hilo.
 
Meneja uhusiano wa shirika la reli Tanzania ambaye licha ya kukiri kuwepo kwa ajali ya Treni ya mizigo kati ya Soga na Pugu, alishindwa kueleza vizuri sababu zilizowafanya viongozi walikuwa wakisafiri na treni hiyo akiwemo mkuu wa kituo cha Pugu kukimbia na kufunga ofisi.
Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top