Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

JOTO LA KUWAPATA WAGOMBEA UBUNGE CCM KUPANDA

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.

Joto la uteuzi wa mwisho la kupata wagombea ubunge kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) limezidi kupanda, huku chama hicho kikitangaza uamuzi mgumu kwa wagombea waliocheza rafu na hata kupindua matokeo.

Mbali na hayo, viongozi wa ngazi ya wilaya na mikoa wanaodaiwa kuwabeba kinyume na utaratibu nao wapo hatarini kuvuliwa nyadhifa zao.

Taarifa kutoka ndani ya CCM ilisema kuwa kikao cha Sekretarieti kilichokutana mjini hapa, kilijadili baadhi ya taarifa na rufaa za wagombea, huku wengine wakiwalalamikia wenzao pamoja na viongozi kwa kucheza rafu wakati wa uchaguzi wa kura za maoni.

Miongoni mwa jambo ambalo limekuwa likizua mjadala, ni hatua ya baadhi ya wabunge kupata kura nyingi katika maeneo yao kinyume na idadi halisi ya wanachama wa CCM kwenye jimbo husika.

Moja kati ya majimbo ambayo wagombea walilalamikia hatua hiyo, ni Jimbo la Iramba ambapo Juma Kilimbah ambaye alikuwa ni moja ya wagombea, alisema pamoja na kura kupigwa bado kura alizopata mgombea mwenzao, Mwigulu Nchemba ni tofauti na idadi ya wapiga kura.

Alidai wakati wa mchakato huo, baadhi ya viongozi wa CCM akiwemo msimamizi wa uchaguzi, walikuwa wakigawa kadi kinyume na utaratibu kwa lengo la kumwezesha Mwigulu kushinda.
Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top