Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

HABARI KUU KUTOKA MAGAZETINI IKIWA NI AUGUST 7

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.


Magazeti ya Ijumaa 7 August 2015 yako mtaani tayari na vichwa vyake vikubwa vya habari, kazi yangu ni kukusogezea zile zote zinazoweka headlines magazetini… baadhi zikiwa na hizi kubwa kubwa.

Prof. Ibrahim Lipumba ango’ka hali tete UKAWA, ajiuluzu uwenyekiti wa miaka 16 CUF akimpinga Edward Lowassa adai UKAWA washindwa kuenzi uadilifu na uzalendo.

CCM kupitisha wagombea Ubunge leo…Edward Lowassa aipasua vipande UKAWA…NEC yaonya kampeni nyumba za ibada…Siri yafichuka CUF watoa taamko…na mke wa Dk. Wilbroad Slaa afunguka.

UKAWA wapata mtikisiko mkubwa baada ya Prof. Ibrahim Lipumba kujiuzulu uwenyekiti wa chama cha CUF na kuamua kubaki kuwa mwanachama wa kawaida wa Chama hicho…idadi ya Wabunge 51 waanguka kura za maoni ndani ya vyama vyao.

Zaidi ya majambazi 10 waliohusika na tukio la Sitakishari wakamatwa na Polisi…Wamachinga wanaendelea na ujenzi wa vibanda Jangwani pamoja na Serekali kusisitiza kuwa wanapaswa kuhama eneo hilo.


Magazeti ya leo August 7 Bofya hapa
Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top