Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

CHAGUA MOJA KULIPA FAINI YA 900,000 AU JELA MIAKA 3

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.
Mahakama ya Wilaya ya Ilala jijini Dar es Salaam, imemhukumu Ofisa Mhifadhi Wanyamapori wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Richard Nchasi, kulipa faini ya Sh. 900,000 au kwenda jela miaka mitatu baada ya kukutwa na makosa matatu.

Hukumu hiyo ilisomwa na Hakimu Mkazi, Juma Hassan, juzi  baada ya kupitia ushahidi uliotolewa na upande wa Jamhuri  na kumtia mshtakiwa hatiani kwa makosa hayo matatu.


“Kati ya makosa manne, mahakama imemtia hatiani mshtakiwa kwa makosa matatu ya kutumia nyaraka kwa lengo la kumdanganya mwajiri kwa kutoa hati za uwindaji wa wanyama,” Hakimu Hassan.

Hata hivyo, mahakama hiyo ilisema upande wa Jamhuri umeshindwa kuthibitisha shitaka la kuisababishia wizara hiyo hasara ya Dola 1,860 za Marekani (sawa na Sh. 2,976,000).
Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top