Nimeona kwenye taarifa zao za Habari Barabara zinadekiwa, vibanda
vinaondolewa omba omba wa mitaani nao marufuku kuonekani Mjini.
Kumbe heka heka za kipindi kile ambacho rais obama alipokuja kwetu tanzania nilidhani kufagia na kudeki barabara kutaishia hapa tu, duh jamaa huyu sijui ni mungu, ebu waone wenzetu wakenya nawao wakideki na kufagia barabara zao.
Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies