Martha Mlata Ashida Viti Maalumu Singida.
kama utakumbuka katika nafasi za kugombea viti maalumu mkoani Singida alikuwemo msanii wa bongo movie nchini tazanai Wema Sepetu.
Ambapo katika hatua za mwisho wema kapigwa chini na wananchi wa mkoa huo. pole sana wema sepetu yote ni maisha tu.
Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies