Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

STORY JUU YA TIMU YA AZAM KUFUATA BEKI NIGERIA

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.

AZAM inafanya usajili wa kimya kimya ambapo sasa inasaka beki mmoja katili aliyemaliza mkataba wake barani Ulaya, ili atue kwa matajiri hao wa Bara na Afrika Mashariki.

Taarifa kutoka ndani ya timu hiyo zinasema mabosi wa klabu hiyo wapo katika hatua za mwisho katika kumshusha beki mmoja ambaye jina lake limekuwa kificho kwa sasa.


Bosi huyo alisema beki huyo raia wa Nigeria atakuja nchini wakati wowote kuanzia wiki ijayo kuja kukamilisha usajili wake huo, huku pia wakiendelea kusaka saini ya mshambuliaji Mohamed Traore anayekipiga El Merreikh ya Sudan.

Usajili wa Traore ambaye ameonekana kuwavutia zaidi mabosi wa juu wa klabu hiyo, utakamilika tu endapo El Merreikh watapata mbadala wake ambapo klabu hiyo imemwambia itamuachia kama hilo litakamilika.

“Tunamleta huyo beki ingawa kwa sasa hatuwezi kukutajia jina, lakini ni raia wa Nigeria alikuwa anacheza soka Ulaya atakuja kuchukua nafasi ya Mwantika,” alisema bosi huyo. Mwantika anatajwa kutaka kutua Simba baada ya kumaliza mkataba wake na Wanalambalamba hao. 
Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top