Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

MAUAJI YA BINADAMU YAZUA SURA YA UBAGUZI U.S COUNTRY

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.
Utumizi wa neno ''uhalifu wa chuki'' ili kuelezea mauaji ya watu tisa katika kanisa moja la watu weusi mjini Carolina Kusini nchini Marekani umezua mjadala kuhusu ni nini haswa kinachosababisha mtu kutekeleza ugaidi.

Watu wengi wameonyesha hasira zao kuhusu vile afisa mkuu wa polisi mjini Charleston alivyoelezea kisa hicho wakati wa mkutano na vyombo vya habari.

Mshukiwa wa mauaji ya watu tisa akiandamana na maafisa wa polisi
Wanasema kuwa ''uhalifu wa kivita'' sio neno zito linalofaa kutumika kuelezea kisa hicho na kudai kwamba iwapo waathiriwa wangekuwa watu weupe na mshukiwa kuwa mwenye asili ya Asia,ama mweusi neno ugaidi lingetumika.


Mshukiwa Dylan Roof ,mwanamume mwenye umri wa miaka 21 ameshtumiwa kwa kuingia ndani ya kanisa saa tatu za usiku siku ya jumatano na kuwapiga risasi waumini waliokuwa katika maombi.

Mshukiwa wakati alipokuwa akiingia kanisani
Katika picha ya mtandao wake wa facebook mshukiwa huyo alikuwa amevalia jaketi lililo na picha na bendera ya Rhodesia na Afrika kusini.

Kanisa la Kiafrika la kimethodisti lina historia ndefu kama eneo la vita dhidi ya ubaguzi wa rangi na ni muhimu katika historia ya Wamarekani weusi.

Mauaji ya Charleston
Mwanaharakati Martin Luther King na Coretta Scott wote walizungumza katika eneo hilo.
Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top