Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

WATU WATANO WAKAMATWA NA VIUNGO VYA BINADAMU

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.

Watu wapatao watano kutoka mkoani Shinyanga wametiwa mbaroni kwa kosa la kujihusisha na biashara haramu ya viungo vya binadamu.

Bwana Justus Kamugisha ambaye ni kamanda wa police mkoani Shinyanga amesema mnamo tarehe 21st May 2015 majira ya saa saba mchana huko kahama mjini katika hotel maarufu kama Maji hotel walifanikiwa kuwakamata watu watano ambao majina yao nikama ifuatavyo.

1. Bahati kirungu umri wake ni miaka 56 kabila msukuma pia ni mwalimu wa shule ya msingi Katunguru iliyopo tarafa ya msalala wilaya ya kahama.

 2. Muoja John umri wake ni miaka 24 kabila msukuma yeye ni mkulima nanimkazi wa isagei wilayani nzega.

3. Bilia Busana umri wake ni miaka 39 kabila msukuma yeye ni mkazi wa moga Nzega

4. Shija Makandi (mwanamke) umri wake ni miaka 60 kabila msukuma na mkazi wa lusagerwa wilayani nzega Tabora

5. Regina Kashinje umri wake ni miaka 40 kabila msukuma huyu ni mkulima pia ni mkazi wa insagee wilayani nzega mkoani tabora.

Watu hawa walikamatwa wakiwa kwenye harakati za kuuza viungo hivi vya binadamu kwa mtu mmoja kwa thamani ya Tsh 600 millions. Endelea kutembelea Mutalemwa Blog. 
Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top