Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

MAAJABU YAENDELEA HUKO MAENEO YA MISSION MBAGARA

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.
Ilikuwa mida ya saa sita na nusu mchana wa leo, katikati ya eneo la Msikitini na Mission hapa Mbagara.

Gari ambalo sikuweza kupata namba yake ya usajiri, ambayo ni Scania iliyokuw imebeba mborea aina ya Urea, iliweza kupata ajari kisha kumwaga mborea hiyo barabarani mchana wa leo.

 Hapo chini ni moja ya gari ambalo lilikuwa limebeba mborea hiyo.

 Baada ya gari kupata ajali vijana waishio katika maeneo hayo ya msikitini pamoja na Mission ndipo walianza kujichukulia mborea hiyo.

 Pichani hapo juu wanao onekana ni wakazi wa maeneo hayo wakiendelea kujizolea mborea iliyokuwa imemwagika kandokando ya barabara kwa ajili ya kujipatia kipato.

 Kipindi chote hicho ambacho vijana hao walikuwa wakiendelea kujichukulia mborea hiyo aina ya urea, nikipindi ambacho polisi walikuwa hawajafika kwenye eneo la tukio, lakini pia baada ya police kuwasili kwenye eneo hilo vijana hao waliendelea na zoezi lao kama kawaida tena bila ya uoga.

Na hapa ndipo police walikuwa wamewasili kwenye eneo la tukio kwa ajiri ya kuimalisha ulinzi pamoja na usalama.


Kwa habari za Matukio Kitaifa, Kimataifa, Michezo na Burudani, Ungana nami kupitia Link zifuatazo hapo chini.

    
In order you follow me just click one of the Icon Button above.
Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top