Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

NI NDEGE KUBWA SANA DUNIANI YENYE KUBEBA ABIRIA 480

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.



















Shirika la ndege la Australia linalofahamika kama Qantas limeanza kurusha ndege yake ambayo inatajwa kuwa ni kubwa zaidi ya abiria duniani na inayofanya safari zake kwa kutumia umbali mrefu zaidi.




















Ndege hiyo iliyotajwa kwa usajiri wa Airbus A380 ilitua katika uwanja wa kimataifa wa Dallas-Fort Worth ikiwa ni saa 15 tangu ilipo ruka kutoka uwanja wa Sydney, mjini Australia, safari ambayo imetumia Kilometer 13.805 huku ndege hiyo ikiwa imebeba abiria 480

























Uwanja wa kimataifa wa kimataifa wa Dallas-Fort Worth ni moja ya viwanja vikubwa sana duniani ambacho kinaunganisha ndege zote za Marekani na Latin America.
























Hivyo uwanja huo umeonekana kufaa zaidi kwa ndege hiyo.
 


Kwa habari za Matukio Kitaifa, Kimataifa, Michezo na Burudani, Ungana nami kupitia Link zifuatazo.

 FACEBOOK >>> TWITTER  >>> MATUKIO >>  MUSIC MPYA
Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top