Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

EWURA imeridhia ombi la TANESCO la kupandishwa kwa bei ya umeme

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.
Mamlaka ya udhibiti wa huduma  za  nishati  na maji EWURA imeridhia maombi ya shirika la umeme nchini TANESCO la kupandishwa kwa bei ya umeme ambapo Bei hiyo imeongezeka kwa wastani wa asilimia 8.5 tofauti na pendekezo la mwanzo la 18.19% huku watumiaji wa nishati hiyo ambao hawatumii zaidi ya unit 75 kwa mwezi wakiwa hawaguswi na ongezeko hilo.

Kwaiyo basi watumiaji wa umeme wa kawaida manyumbani watalazimika kununua Unit moja kwa Tsh 312 wakati kabla ya ongezeko ili unit moja ilikuwa ikinunuliwa kwa Tsh 292, bei izi zitaanza kutumika rasmi tarehe 01/01/2017 ikiwa ni ongezeko la Tsh 20 kwa kila unit moja.
Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top