Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

UJUMBE WA ODAMA KWA MASHABIKI ZAKE NIMEKUWEKEA HAPA USIUKOSE

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.
Katika safari ya maisha lazima kukutana na watu wa aina hii kamwe usikate tamaa. Pambana na mtangulize Mungu.

1:Niwale Unao Waamini kugeuka kuwa Maadui licha ya pendo uliowaonyesha kuugeuza chuki na Misaada Uliowapa wakakuchimbia na shimo la kukuangamiza hawatakumbuka chochote chema ulichowatendea bali kutafuta ubaya wako na kukuhukumu.

Wakati walikua nayo nafasi ya kukuuliza na kukuchunguza sababu uliwapenda na kuwaheshimu. Fahamu kua ni rahisi sana (rafiki kua adui).

2:Mtu wapili atakae Kushangaza ni yule usiemjua wala hukuwahi muona lakini akakuhifadhi nyakati za shida bila Kujiuliza wewe ni nani na kwanini anakusaidia ila basi tu, akakutoa katika shimo ulilotupwa na ulio waita Marafiki bila ya kujali kama utamgeuka hata yeye.

Usichoke kutenda wema kwani siku zote nguvu yetu yakujiamini hutokea kwa wasiotujua ndio huona Karama iliyo ndani yetu sababu wale wanaotufahamu husoma zaidi madhaifu yetu na husahau kuangalia nguvu iliyo ndani yetu usiogope.

Niwakati wako sahihi wakusema maumivu tena basi angalia nani unamwita RAFIKI na kwanini JE nii aina ya RAFIKI unaemuhitaji je atakutambulisha vyema mbele ya wasio kujua??? Muda wa kuamka na kufanya maamuzi sahihi.
Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top