Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

Samsang yawataka wateja wake kurudisha mashine milioni 3 za kufulia wakidai zinalipuka

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.
Samsung imewataka wateja wake kurudisha takribani mashine milioni 3 za kufulia zinazodaiwa kuwa zinaweza kulipuka wakati zikifanya kazi.

Mwezi Septemba kampuni hiyo ya Korea Kusini ilitangaza kurudishwa kwa simu za Samsung Galaxy Note 7 ambazo ilidaiwa kuwa zinalipuka wakati wa kuchajiwa.

Kampuni ya vifaa vya umeme ya Samsung yatangaza kurudishwa kwa takribani mashine milioni 3 za kufulia kwa kuwa kuna taarifa za kuwa mashine hizo zinaweza kulipuka wakati zikifanya kazi.

Mwezi Septemba kampuni hiyo ya Korea Kusini ilitangaza kurudishwa kwa simu za Samsung Galaxy Note 7 ambazo ilidaiwa kuwa zinalipuka wakati wa kuchajiwa.

Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top