Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

Ujio wa Lebo ya msanii Alikiba, wasanii maarufu wapewa shavu, ingia hapa kujua zaidi

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.

Imekuwa ni kama fashion sasa kwa wasanii wa Bongo Fleva kwa kila mmoja kutaka kuwa na lebo yake, ukiachilia mbali wale ambao walikwisha tangulia kwenye mambo hayo na lebo zao zikafanya poa.


King Kiba amesema kuwa yuko katika maandalizi ya kurudi rasmi katika suala hilo la kusimamia wasanii (Kuanzisha Lebo) na tayari kuna wasanii ambao amekwisha fanya nao mazungumzo na watakuwepo chini ya
lebo hiyo.


“Me record lebo ninayo muda mrefu, lakini sikuifanya matangazo, lakini kuna wasanii ambao nilikuwa nawamiliki nikapumzika, sasa hivi narudi tena najipanga upya kama unavyomuona Abby Skills anafanya kazi vizuri na bado ataendelea kufanya kazi zingine,

Abdu Kiba pia ametoa ngoma hivi karibuni lakini haijafanya vizuri lakini ngoma ijayo itakuwa ni ya mimi na yeye. Pia kuna msanii mwingine ambaye watu hawajawahi kumsikia, pia kuna wakina Jokate, kina Dalila na wengine kibao tu ambao wapo chini ya Lebo
yangu.”

Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top