Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

ILIVYOKUWA KWENYE MASHINDANO YA SUMATRA CCC DAY, BOFYA HAPA KUJUA ZAIDI

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.
Tazama Matukio mbalimbali yaliyofanyika kweye mashindano ya SUMATRA CCC day katika viwanja vya Benjamin Mkapa High School tarehe 29/10/2016.
Lengo la mashindano haya ni kutoa elimu kwa wanafunzi pamoja na jamii nzima jinsi ya kujiepusha na ajali kwenye vyombo vya usafiri na kauli mbiu ya mwaka huu kwa mkoa wa dar es salaam inasema hivi, "hatutaki ajali ni haki na wajibu wetu sote kujilinda"
Mashindano haya yaliambatana na zoezi la kujitolea damu kwa Wanafunzi chini ya usimamizi kutoka kitengo cha damu salama.

Nicholous kinyariri, afisa elimu wa sumatra CCC.
Shule zilizoshindanishwa katika mashindano haya ni sita tu kama zinavyoonekana hapo chini
1. Benjamin Mkapa high school
2. Kibasila sekondary school
3. Makongo sekondary school
4. Mibulani shule ya msingi
5. Oyster bay shule ya msingi 
6. Msimbaz boys shule ya msngi.
Huyo mwanafunzi kwenye picha anaitwa Deborah hugo ni Mwanafunzi wa Benjamin mkapa high school.
Michezo iliyoshindanishwa kwenye shule izi ni maigizo, nyimbo pamoja na ngonjera.

Martha Sepeku,ni mwalimu mlez wa sumatra club shule ya msingi Msimbazi boys na pia Mwenyekiti wa walimu walezi wa vilabu vya sumatra CCC mkoa wa Dar es salaam.
Na kati ya shule izi sita washindi ni kama wafuatao hapo chini.
1. Msimbazi Boys primary school 
2. Makongo secondary school
3. Benjamin Mkapa high school.
Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top