Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

Raia wa China achana noti ya Shillingi elfu moja akiita Toilet Paper, habari kamili iko hapa.

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.

Mida hii, maeneo ya Mikocheni B, Baraka plaza, raia wa China amechana noti ya Shillingi elfu moja akiita Toilet Paper.

Huyu jamaa alichukua Bajaji kwenda sehemu fulani. Maelewano ikawa ni Shilingi 4000. Lakini akatoa shilingi 2000. Mwenye babaji alipouliza ni kwa nini, akasema hiyo siyo sehemu ya 4000. Kwa hiyo anampa 2000. Mwenye Babaji akakataa kupokea.


Matokeo yake mchina huyo akachana hela na kumtupia akisema take your toilet paper. Basi raia waliokusanyika wakamzuia huyu mchina kuondoka na kuita Polisi.

Mida hii Polisi wamemchukua na kuelekea naye kituo cha Polisi Oysterbay


                           Aachiwa huru

Wanajamvi, yule mchina Aliyechana shilling 1000 na kuiita toilet paper ameachilliwa huru mchana baada huu, baada ya kukaa Polisi takribani masaa matatu tu.

Kwa waTanzania hii ni tusi kubwa sana. Iwe je Polisi wa Hoysterbay wamuachilie huyu mchina wakati watu wanaofanya makosa madogo barabarani wanaswekwa ndani?

Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top