Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

KILA MTU ANAENDESHA CHOMBO CHAKE JINSI ANAVYOJUA YEYE MWENYEWE, EBU TAZAMA HII

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.

Ajali hii ilitomea kituoni kabisaa, eneo la Kizuiani Mbagala.
Gari namba T 602 DGT ndilo lililo sababisha ajali maeneo hayo.
Gari tajwa ndio iyo hapo inayoonekana kwa upande wa kushoto. Na mwenye bajaji alikuwa akidai bajaji yake haikuwa na break nzuri.
Na gari namba T 436 DFM iyo daladala unayoiona hapo upande ww kulia ilikuwa imepaki kituoni bila shida yoyote.
Baada ya gari tajwa hapo picha ya juu yake hii ilikuja bajaji yenye namba MC 495 AEQ nayo ikawa inaingia kituoni kabla haijasimama ndipo olipoingia ole daladala tajwa hapo mwanzoni kabisa mwa habari hii kisha kusababisha ajali hii.
Mabishano galichukua mda mwingi kama dakika 10 hivi, na mwenye bajaji akiwa ni mtu mwenye uremavu wa miguu alikuwa na wenzake wawili nakufanya idadi ya watu kwenye bajaji ole kuwa na jumla ya watu watatu.
Mwenye iyo daladala unayoiona hapo kushoto kwako alikuwa akidai yeye amegongwa na mwenye bajaji wakati yeye ndiye aligeingia vibaya kituoni na kumgonga mwenye bajabi kisha mwenye bajaji kujibamiza kwa ole daladala ya kulia.
Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top