Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

Vijana 14 wakabaji wenye umri chini ya miaka 16 wakamatwa Temeke

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.
Vijana 14 wenye umri chini ya miaka 16 wenye kikundi chenye jina maarufu kama "Taifa jipya" wakamatwa.

 Wamekamatwa eneo la sabasaba katika wilaya ya Temeke jijini Dar es salaam kwa tuhuma za kukaba na kuwapora wapitanjia kwa kutumia mapanga hali iliyowapelekea wananchi wenye asila kali kuwapiga na mmoja wao kufariki dunia.

Vijana hao wengi wao ni wakazi wa Buza na wengi wao ni wanafunzi ambapo walienda kufanya uporaji wao katika uwanja wa Zakii.

Mbali ya jeshi la polisi kuweza kufanikiwa kuwakamata vijana hao pia polisi wameweza kuwapata wazazi wa watoto hao na wanatarajiwa kupelekwa mahakamani na endapo wazazi wa watoto hao watatiwa hatiani kwa mujibu wa sheria ya watoto ya mwaka 2009 kifungu cha 6 hadi 9 watapewa adhabu ya kifungo cha miezi 6 jera au kutozwa faini ya Tsh millions 5.

Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top