Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

Tetemeko kubwa la Ardhi laikumba mikoa ya Mwanza na Kagera, zaidi bofya hapa

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.

Tetemeko kubwa la Ardhi laikumba mikoa ya Mwanza na Kagera, habari kamili iko hapa nchini.

Kumetokea tetemeko la Ardhi na limepiga maeneo ya mkoa wa Kagera na inadaiwa mikoa jirani nayo imepata mtikisiko huo.

Linadaiwa kurudia tena likiwa na mtikisiko mkubwa zaidi uku Nyumba kadhaa zikiwa zimebomoka kutokana na ukubwa wa tetemeko hilo pia Taarifa za vifo zimesikika.

Tetemeko hilo limeanza kusikika mida ya saa tisa na nusu, huku likidaiwa kuwa na ukubwa/uzito wa 5.7 na lilikuwa likitokea upande wa kaskazin magharibi.

Mpaka sasa imeripotiwa kuwa takribani watu 10 wamefariki dunia na wengine zaidi ya 100 wamejeruhiwa, kaa nadi tukujuze zaidi kupitia hapa hapa.

Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top