Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

KWA TAARIFA YAKO, HUYU NDIYE MNYAMA MWENYE WIVU ZAIDI KULIKO WANYAMA WOTE DUNIANI

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.

Mnyama huyu anaitwa 'NYEGERE' Chakula chake kikubwa ni asali, hupanda juu ya mzinga wa asali na KUUJAMBIA, baada ya mashuzi yake nyuki wote hulewa na yeye kupakua asali na masega yake na kuyala. Ana ngozi ngumu sana kiasi hata nyuki akimuuma hakuna chochote kinatokea.

Ni moja ya Wanyama wenye WIVU sana Duniani na Mapenzi makubwa kwa Jike lake, mara zote hutembea nyuma ya Jike huku akiwa ameziziba sehemu za siri za jike, na hata jani tu likiigusa sehemu hiyo basi litararuliwa na kupewa kipigo cha Nguvu kwani anaamini JANI litakuwa "limefaidi utamu" wa jike.

Aidha, kuna makabila ambayo WAGANGA wa kienyeji hutumia mchanganyiko wa ngozi au Nyama yake kutengenezea LIMBWATA, Hivyo  Wamama huchukua dawa hiyo kuwawekea waume zao ili wawe na "upendo" wa Nyegere.

Wivu wa Nyegere hufanya awachukie sana Binadamu Wanaume, Mwanaume ukiwa porini ukakutana na Nyegere akiwa na jike lake jiandae kupata kibano kwa wivu kuwa utamtamani jike lake na atakimbilia kuvamia sehemu za siri akiamini ndizo zinazokupa jeuri ya kumtamani jike lake.

Nyegere anaweza kununua ugomvi mpaka kijiji cha sita, kama aliujambia Mzinga wa asali na akachukua kidogo kupeleka kwa Mkewe, alafu ikatokea Mlina asali akifika na kupakua, basi Nyegere ana uwezo ya kufuatilia harufu ya aliyeiba asali yake mpaka nyumbani, na akifika atavunja mlango na kuingia ndani na kumvamia mwizi wa asali yake.. Watu wengi vijini wameuwawa kwa namna hii.

Ni moja ya Viumbe wanaaogopwa zaidi Ulimwenguni kwani huweza kupambana na Simba na Chui zaidi ya mmoja na kuwashinda, Hula nyoka wa aina yoyote na Sumu yake ni kali ambapo akimng'ata nyoka wa aina yoyote haponi. MaktabaYaMkutubi”

Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top