Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

TPDC imemsimamisha kazi Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika hilo, zaidi bofya hapa

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.


Taarifa za uhakika kutoka ndani ya shirika hilo na wadau mbalimbali wa masuala ya mafuta na gesi, zimeeleza kuwa kusimamishwa kazi kunatokana na ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu (CAG) ya mwaka jana iliyoeleza kuwa, TPDC ilikiuka taratibu za manunuzi ya umma kwa kuipa upendeleo kampuni ya Marekani kutafiti mafuta na gesi katika maeneo ya kaskazini na magharibi mwa Ziwa Tanganyika, Songosongo, Mandawa na Eyasi.

“Shirika kwa sasa si salama, kwani mkurugenzi amepewa barua kutoka kwa mwenyekiti wa bodi kusimamishwa kazi kuanzia jana (Jumatano) kutokana na ripoti ya ukaguzi,” alisema mmoja wa watoa taarifa.

Hata hivyo, mpaka jana jioni hakukuwa na taarifa rasmi kuhusu kusimamishwa kazi kwa mkurugenzi huyo.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Profesa Justin Ntalikwa alipoulizwa kuhusu hatua hiyo, alisema anafahamu suala la kusimamishwa kazi kwa Dk Mataragio, lakini akaongeza kuwa, maelezo zaidi kuhusu maamuzi hayo anayo Mwenyekiti wa Bodi ya shirika hilo, Profesa Sufian Bukurura.

Hata hivyo, Mwenyekiti huyo alipotafutwa kwa simu kutoa taarifa rasmi za kusimamishwa kazi kwa mkurugenzi huyo, hakupatikana kwani mara zote simu yake ilisema inatumika.

Habari Leo
  ==================================

  ==================================

      Wasifu(CV) wa Dkt. James Mataragio

Bell Geospace geoscientist appointed Director General of TPDC

Bell Geospace has announced that one of their valued geoscientists, Dr James Mataragio has been appointed to the post of Director General of the Tanzania Petroleum Development Corporation (TPDC) by President Jakaya, effective 15th December 2014. During his tenure at Bell Geospace, Dr Mataragio has been exposed to a variety of mineralisation and hydrocarbon projects, which have contributed to the skill set and experience required by TPDC for the role of Director General.

The appointment of Dr Mataragio, who has worked for Bell Geospace since 2004, was announced in a statement issued by Chief Secretary, Ambassador Ombeni Sefue, adding that Dr Mataragio is among a few experts in minerals, oil and natural gas in diaspora who volunteered advice to the government on development of the sector. The chief secretary further said the president was optimistic that Dr Mataragio will use his education, experience and expertise to overhaul TPDC to become a real development engine and take the nation’s economy to new heights.

In his ten years with Bell Geospace, Dr Mataragio has worked with a number of major international oil and gas firms, including Petrobras (Brazil); BP; Anadarko; Pitkin (Philippines and Peru); Tullow Oil; Pemex (Mexico); ANP (Brazil), Ecopetrol (Colombia); Petronas (Malaysia) and Vale Rio Doce.

Scott Hammond, CEO of Bell Geospace, says “While we will be sad to lose such a valued member of our geoscience team, we are delighted that James is going on to such an important role in the future of petroleum development in Tanzania, and this appointment is a tribute to the sterling work that he has done, both for Bell Geospace and prior to studying for a PhD his work in Tanzania for Anglo Gold and Anglo American. We will be following his progress with great interest, and are sure that he will bring a breadth of skill and experience to this role that will ensure that TPDC has a significant impact on exploration and production in Tanzania”.

Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top