Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

MWIZI WA SIMU KARIAKOO STEND YA DALADALA ZA MBAGALA UYU HAPA

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.

      Akipelekwa kituo cha polisi Kamata

Ilikuwa kama mchezo wa kuigiza mda wa saa 6:07 jioni, ambapo kumetokea mwizi akitaka kuiba simu ya abilia aliyekuwa anataka kupanda daladala inayoenda mbagala rangi tatu.

Abilia wakiwa kwenye vuta nikuvute za kugombania kupanda gari hilo kumbe miongoni mwa hao wanaogombania alikuwepo mwizi akijaribu kuiba simu ya abilia ambaye alikuwa ni mwanamke.

Mda mfupi sana kabla mwizi huyo kufanikisha zoezi lake ndipo baadhi ya abilia walimshtukia na kuanza kumpa kichapo.

Abilia baada ya kumpa kichapo walimkagua wakamkuta mfukoni ana pochi alafu ndani yake kuna makaratasi tu wala hakuna kitambulisho chochote cha kuweza kumtambulisha, ndipo abilia waliamua kumbeba na kumpeleka kwenye kituo cha polisi hapa Kamata.

Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top