Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

ARUSHA: YULE MAMA ALIYEPISHANA KIMAONGEZI NA MUMEWE AJINYONGA, BOFYA HAPA

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.

Mama anayedaiwa kuchoma maduka matatu, nyumba yake ya kuishi, ajinyonga Arusha

August 21 2016 ziliripotiwa habari za mama mmoja anayejulikana kwa jina la Victoria Edward Wenga kuchoma moto maduka matatu na nyumba yake ya kuishi katika kata ya Lemara Arusha. Chanzo cha mama huyo kuchoma moto ilidaiwa ni ugomvi uliokuwepo kwenye familia kati ya mama huyo na mume wake anayejulikana kwa jina la Edward Wenga.

Habari nilizozipokea muda si mrefu zinasema kwamba mama huyo amejinyonga kwa kutumia nguo yake na kufariki dunia.

Kamanda wa polisi Arusha Charles Mkumbo amesema alijinyonga akiwa kituo cha polisi kama mahabusu ambapo polisi walipata taarifa baada ya mahabausu wenzake kupiga kelele.

Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top