Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

YALIYONIKUTA SITAKI YAKUKUTE WEWE, EBU JIFUNZE KUPITIA HAPA

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.

Kwa wale watu kwa ujumla wanaoingia kwenye mahusiano hasa ya kudumu, yanaweza kuwa ndoa au ya mwelekeo wa ndoa ni vyema tukawa tumejiandaa kwa lolote litakalotokea na kulichukulia hata kama ni nzito namna gani.

Kumbuka hakuna kitu kisichokuwa na mapito au changamoto kosa kubwa tunalolifanya pale tunapoingia kwenye mahusiano hayo ni pale tunapofikiri kuwa mwenzi wako huyo ni malaika na hawezi kukosea kwa namna yoyote ila wewe ndio binadamu ukikosea usamehewe na muendelee kuvumiliana ila wewe uvumilivu huna.


Pale mnapompenda mtu jua kuwa na yeye anamadhaifu yake ambayo unatakiwa kumvumilia hata kama ni ya namna gani, hata iwe ni usaliti wa ndoa ni lazima mvumilie na sio kumuacha au kumkashifu.Utakuta mtu anasema kwa jambo hili siwezi vumilia na anasahau hata yeye anavumiliwa tu.

Ni lazima tujue kuwa huwa tunakutana na watu wanaotufaa kwa yale madhaifu yetu na sio watu wakamilifu wa madhaifu yetu, yaani mfano unaweza kukuta mwanamke hawezi labda kufua nguo vizuri na wewe swala la kufua nguo sio shida sana.

So unachotakiwa kufanya sio kudharirisha na kuwa na akili mgando ya mfumo dume hapo ni kuweka mfanya kazi au fua na sio kudharirishwa kwani mke sio mfanyakazi na kuna tofauti ya majukumu ya mfanyakazi na mke pia na heshima zao zinatofautiana, au mwanaume ni bwana mipango mzuri lakini utekelezaji wako ni ziro nawe unaweza kusimamia. Hivyo we simamia na usiwe na dharau, kwani sifa ya kwanza ya mwanamke ni utii.

Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top