Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

UNAYA FAHAMU MAAJABU YA ZIWA LA MBEYA?? BOFYA HAPA KUJUA ZAIDI

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.

Ziwa hili liko Mbeya kwenye milima ya Uporoto. Na wenyeji wanasema eti ziwa ili ubadilika rangi kila siku kulingana na hali ya hewa ya siku iyo, pua wana endelea kwa kusema kuwa ziwa ilo linatajwa kuwa ni ziwa la pili kwa ukubwa katika maziwa yanayopatikana kwenye kreta Afrika.

Wenyeji wanalihusisha ziwa hili na imani za kishirikina. Wanadai lilipigwa mawe na likahamishwa kutoka Masoko Tukuyu na kwenda kujikita Uporoto.

Hilo ziwa nshawahi kulisikia, eti wazungu walienda kufanya uchunguzi wakazama. Wakaenda kundi jingine wakajifunga minyororo ya chuma kwenye miti kisha wakaingia ziwani, minyororo ikakatika, wakazama.

ziwa hilo lina ingiza tuu maji na hali toi maji kwa sababu liko katikati ya milima alafu halina ufukwe kwani ukiwa ukingini kabisa uka jalibu kupima kuna ni parefu na haijulikani ni mita ngapi kwenda chini kwa hivyo huwezi kuogelea kwenye ziwa hilo lililoko maeneo ya upoloto ukiwa una toka Mbeya una shuka kituo kina itwa nymbe one alafu una tembea kilomita 12 ili kufika ziwani hapo.

Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top