Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

ANASHIKILIWA NA POLISI KISA KUMCHINJA MKE WAKE WA NDOA, HABARI KAMILI IKO HAPA

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.

Mwanaume anayejulikana kwa jina la Remy Joseph (35) anashikiliwa na polisi kwa kumchinja mke wake wa ndoa kabisa aitwaye Josephine Ndengaleo Mushi waliyeishi naye miaka 10 na kuzaa watoto wawili.

Tukio hilo la kutisha lilijiri ndani ya chumba kimoja kilichopo ghorofa ya pili ya  Hotel Friend’s Corner Ltd iliyopo Manzese Argentina, Dar ambapo walikuwa wamechukua chumba katika hoteli hiyo kwaajili ya kulala hapo.

Polisi walifanya uchunguzi chumbani na kugundua kuwa, marehemu Josephine alichinjwa shingoni, akakatwa mbavu mbili, moyo na maini vilikuwa nje ‘vikimwagika’, mwisho alichomwa kisu utosini.

Cha kusikitisha zaidi, mwili wa marehemu Josephine ulipigishwa magoti, sehemu ya miguu mpaka magoti ikiwa sakafuni na kifuani kulalia kitanda. Halafu ulifunikwa shuka

Katika hali iliyoonesha kuwa, mtuhumiwa baada ya kutenda ukatili huo alitaka kujinyonga, polisi walikuta waya wa umeme wa tivii ukining’inia kwenye pangaboi lakini ukiwa umekatika. Na pia damu na alama za kujikata visu shingoni.

Sababu ya kufanya hivyo haijujulikana ila ndugu wa mke wa marehemu walielezea kuwa mme alikuwa akimhisi vibaya mkewe.

R.I.P Josephine Mushi. Dah! hii inatisha sana? Una lipi la kusema juu ya hili?

Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top