Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

NDIYE HUYU ALIYECHEZA MOVIE YA YESU (JESUS), HISTORIA YAKE IKO HAPA

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.

Anajulikana kama Brian Beacon, yeye ni muigizaji maarufu duniani aliyeigiza filamu ya Yesu (Jesus). Alizaliwa mnamo tarehe 13/02/1946 kwenye mji wa Oxford nchini Uingereza (UK). Alijifunza sanaa katika chuo cha Oxford Youth Theatre cha humo nchini mwao.

Msanii huyu amepata kuigiza filamu kama The Triple Echo ilikuwa mwaka 1972, na miaka miwili baadae akafanya filamu inayofahamika kama Vampyres ambapo ilikuwa mwaka 1974, Lakini pia mwaka 1979 alifanya filamu ambayo ilikuwa gumzo dunia nzima filamu ya Yesu (Jesus) hadi ikafikia watu wengi tukawa tunahisi ndiye yesu kweli kutokana na jinsi alivyovaa uhusika (character).

Na mnamo mwaka 1985 alicheza filamu ya A Zed and Two Noughts. wasambazie na wenzio ili wamjue vizuri huyu msanii kwa kipaji chake alichokitumia kwa kuvaa mfano wa maandiko matakatifu na kuufikishia ulimwengu ujumbe stahiki.

Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top